Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Baba ajinyonga akidhani amemuua mwanaye kwa kipigo

$
0
0
Mkazi mmoja wa Kijiji cha Bushembe, wilayani Muleba, mkoani Kagera amefariki dunia kwa kujinyonga baada ya kumpiga mwanaye na kumpasua kichwa.   Ofisa Mtendaji wa Kata hiyo, Dickson Wilson alimtaja mtu huyo kuwa ni Godfrey Joseph, mkazi wa Kijiji cha Bushembe na kwamba tukio hilo lilitokea Januari 3, mwaka huu.   Wilson alisema kabla ya kujinyonga, alimpiga mtoto wake wa miaka

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>