Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Kuna hii taarifa ya Askari aliyejiua ndani ya ghala la Silaha la Polisi jijini Mbeya

$
0
0
Askari Polisi wa Kituo cha Polisi Wilaya ya Mbozi, Patrick Kondwa amejiua kwa kujipiga risasi akiwa ndani ya ghala la kuhifadhia silaha katika kituo hicho.   Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Ahmed Msangi amethibitisha kutokea kwa tukio hilo saa tisa usiku wa juzi kuamkia jana ambapo Askari huyo alikuwa lindo katika chumba hicho cha silaha.   Jeshi la Polisi linaendelea na uchunguzi wa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>