Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Jaji Mkuu mstaafu Samatta na Prof. Safari watoa ushahidi kesi ya Dk. Slaa

$
0
0
Jaji Mkuu mstaafu, Barnabas Samatta jana alipanda kizimbani kutoa ushahidi katika Mahakama ya Wilaya ya Hai tukio lililovuta hisia za wananchi wengi kwani ni la kwanza na la aina yake kwa kiongozi wa juu wa mhimili huo wa dola.   Jaji Samatta aliingia eneo la Mahakama saa 2.40 asubuhi akifuatana na Profesa Abdallah Safari na baadaye kwenda moja kwa moja chumba cha mapumziko kabla ya

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>