Jaji Mkuu mstaafu, Barnabas Samatta jana alipanda kizimbani
kutoa ushahidi katika Mahakama ya Wilaya ya Hai tukio lililovuta hisia
za wananchi wengi kwani ni la kwanza na la aina yake kwa kiongozi wa juu
wa mhimili huo wa dola.
Jaji Samatta aliingia eneo la
Mahakama saa 2.40 asubuhi akifuatana na Profesa Abdallah Safari na
baadaye kwenda moja kwa moja chumba cha mapumziko kabla ya
↧