Waziri mkuu Mizengo Pinda amesema viongozi wa serikali ambao watakuwa
hawajakamilisha kazi ya ujenzi wa maabara za shule za sekondari
watafukuzwa kazi kwa kushindwa kutekeleza agizo la serikali.
Pinda
amesema baada ya miezi sita kuanzia sasa viongozi wa serikali ambao
watakuwa hawajakamilisha kazi ya ujenzi wa maabara za shule za sekondari
wakiwemo wakuu wa wilaya, wakurugenzi wa
↧