Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Escrow yasimamisha watumishi 7 Wizara ya Fedha

$
0
0
Naibu waziri wa fedha nchini Tanzania Mwigulu Nchemba amesema serikali imewasimamisha kazi watumishi Saba wa wizara hiyo kupisha uchunguzi wa kashfa ya fedha za Akaunti ya Tegeta ESCROW. Waziri Nchemba ametoa kauli hiyo jana jijini Dar es salaam alipotembelea Hospitali ya Mwananyamala ambapo alisema fedha hizo zilizotumika kiubadhilifu zingeweza kuokoa maisha ya wagonjwa na hasa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>