Zikiwa zimepita siku chache tangu mwaka wa 2015
uanze, mwanadada mwenye umbo matata Bongo, Lulu Semagongo ‘Anti Lulu’
amekiri kuuanza vizuri baada ya kupima ngoma.
Akizungumza na Gpl, Anti Lulu alisema anafurahi kwa kuwa ameuanza mwaka vizuri baada
ya kwenda kupima Ukimwi akiongozana na mama yake na kujikuta yupo
salama.
“Yaani nina furaha ya ajabu baada ya kukutwa niko mzima kwani
↧