Msanii wa filamu Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ na
mpenzi wake aliyejulikana kwa jina la Farhad wanadaiwa kumwagana baada
ya kuwa kwenye uhusiano kwa muda mrefu.
Chanzo kimoja kimedai kwamba Nisha na mpenzi wake huyo ambaye walikuwa na mipango ya
kuoana mwaka jana lakini ndoa ikayeyuka waliachana kutokana na sababu
zisizojulikana na sasa kila mmoja yupo bize na maisha yake.
Baada ya
↧