Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Busisi waanza kutumia tiketi za kielectroniki

$
0
0
Waziri wa ujenzi, Mh. Dk. John Magufuli ameitaka ofisi ya wakala wa ufundi na umeme (TEMESA), kuboresha maslahi ya watumishi wa vivuko ili kuepukana na wizi wa mafuta yanayotumika katika kuendeshea mitambo pamoja na vivuko hapa nchini. Dkt. Magufuli amemuagiza mtendaji mkuu wa TEMESA mhandisi Marcelin Magessa, kuzingatia ushauri huo wa kuwaboreshea watumishi wake maslahi wakati

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles