Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

CCM Shinyanga yalaani UVCCM kufunga ofisi.

$
0
0
KAMATI ya siasa ya halmashauri kuu ya Chama Cha Mapinduzi(CCM) wilaya ya Shinyanga Mjini mkoani humo, imelaani kitendo cha jumuiya ya umoja wa vijana wa chama hicho, kufanya maandamano na kufunga ofisi za CCM, wilaya hiyo. Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Shinyanga Mjini kanali Mstaafu Tajiri Maulidi ametoa kauli hiyo wakati akitoa tamko la chama, baada ya kamati ya siasa ya halmshauri

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>