Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Viongozi wa Siasa Wamtaka Rais Kikwete Afanye Maamuzi juu ya Waziri wa Nishati na Madini.

$
0
0
Viongozi wa vyama vya siasa nchini wamemtaka Rais Jakaya Kikwete kutekeleza ahadi yake aliyoahidi wakati wa mkutano na wazee wa Dar es Salaam ya kufanya maamuzi ya kumwajibisha waziri wa nishati na madini ambaye alimweka kiporo na kudai kuwa atatoa maamuzi ndani ya siku mbili lakini hadi leo amekaa kimya.   Mwenyekiti wa chama cha wananchi CUF Prof Iibrahim Lipumba amesema suala la

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles