Viongozi wa vyama vya siasa nchini wamemtaka Rais Jakaya Kikwete
kutekeleza ahadi yake aliyoahidi wakati wa mkutano na wazee wa Dar es
Salaam ya kufanya maamuzi ya kumwajibisha waziri wa nishati na madini
ambaye alimweka kiporo na kudai kuwa atatoa maamuzi ndani ya siku mbili
lakini hadi leo amekaa kimya.
Mwenyekiti wa chama cha wananchi CUF Prof Iibrahim Lipumba amesema
suala la
↧