Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Kamati ya Miss TZ waililia wizara

$
0
0
Kamati ya Miss Tanzania imesema kuwa imeiandikia barua Wizara ya Habari Tamaduni na Michezo kuomba kikao cha pamoja kati yao na BASATA ili kutafuta usuluhishi wa hatua ya Baraza hilo kuyafungia mashindano hayo kwa miaka miwili. Akiongea na eNewz, afisa Habari wa kamati ya Miss Tanzania, Bwana Hidan Rico amesema kuwa wameiomba Wizara kama Msimamizi Mkuu wa BASATA, vilevile wakiwa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>