Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mabomu ya Machozi yatumika Kuzima Vurugu zilizojitokeza jijini Dar wakati wa zoezi la kuwaapisha Wenyeviti wa Mitaa

$
0
0
Polisi Jijini Dar es Salaam wamelazimika kufyatua risasi hewani na kufyatua mabomu ya machozi kufuatia kuibuka kwa vurugu katika hoteli ya Land Mark Ubungo ambapo shughuli ya uapishaji wa wenyeviti wa serikali Mitaa zilikuwa zinafanyika.   Vurugu hizo, zinadaiwa kuibuliwa na wafuasi wa vyama vya upinzani kwa madai kuwa Mwenyekiti mmoja wa Chama tawala CCM aliyetaka Kuapishwa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>