Mkurugenzi
Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Nishati, Maji na Mafuta (Ewura), Felix
Ngamlagosi (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari
ofisini kwake Dar es Salaam leo, kuhusu mwenendo wa bei za mafuta nchini
na katika soko la Dunia. Kulia ni Mkurugenzi wa Petroli, Godwin Samwel.
Mkurugenzi wa Petroli, Godwin Samwel (kulia), akizungumza katika mkutano huo.
Ofisa
↧