Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Binti Achomekwa Chupa Sehemu za siri na Kujeruhiwa vibaya kwa Kipigo jijini Mwanza akituhumiwa Kutoka kimapenzi na mume wa mtu

$
0
0
MKAZI wa Kitangiri jijini hapa, Biera Edwin (22) amelazwa katika Hospitali ya Mkoa ya Sekou Toure akipatiwa matibabu baada ya kujeruhiwa vibaya sehemu mbalimbali za mwili wake kwa tuhuma za kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mume wa mtu.   Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Valentino Mlowola hakupatikana kuzungumzia tukio hilo, lakini Biera mwenyewe alisema kabla ya kufanyiwa kitendo hicho

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles