Mwanamke mmoja mkazi wa kata ya Buhare katika manispaa ya Musoma
mkoani Mara Bi Helena Paulo mwenye umri wa miaka 20 amejifungua watoto
wawili mapacha ambao wameungana katika eneo la kifua hadi
tumboni.
Tukio hilo limevuta mamia ya wananchi ambao wamefika katika
hospitali ya rufaa mkoa wa mara mjini musoma kwa lengo la
kutaka kushuhudia tukio hilo.
↧