Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mwanasheria Mku MPYA Wa Serikali Aaapishwa.......Aahidi Kushughulikia Usiri katika Mikataba

$
0
0
Mwanasheria mkuu wa serikali George Masaju amewataka watanzania kujenga imani na serikali yao juu ya masuala mbalimbali ikiwemo ya mikataba hasa inayogusa maslahi ya taifa. Akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya kuapishwa na Rais Jakaya Kikwete Ikulu jijini Dar es Salaam hafla iliyohudhuriwa pia na makamu wa Rais Dk Mohamed Gharib Bilal, waziri mkuu Mizengo Pinda, jaji

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>