Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Wastara: sifaidiki na kazi za Sajuki

$
0
0
Msanii wa filamu Wastara Juma, ambaye ni mjane wa aliyekuwa staa wa filamu mahiri nchini, Marehemu Sajuki Juma Kilowoko, ameweka wazi kuwa baada ya kufariki kwa mumewe, hakuna manufaa yoyote ambayo yanaendelea kupatikana katika filamu. Wastara ameongezea kusema kuwa hakuna mafanikio ambayo yanaendelea kupatikana ama yanatarajiwa kupatikana kwake na familia kutokana na mfumo wa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>