Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Ikulu Yasema: Rais hajadharau Bunge

$
0
0
KURUGENZI ya Mawasiliano ya Rais, Ikulu, imesema Rais Jakaya Kikwete hajadhalilisha Bunge ama wabunge.   Pia, imesema uteuzi uliofanywa na Rais wa Mwenyekiti mpya wa Bodi ya Wakurugenzi ya Shirika la Umeme Nchini (TANESCO), Profesa Mighanda Manyahi haukulenga kumdhalilisha yeyote na kwamba umetokana na mamlaka aliyonayo kisheria.   Katika taarifa yake kwa vyombo vya habari, jijini Dar

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>