Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Maajabu ya Shinyanga: Ndugu waamua kumzika marehemu na kuku tumboni

$
0
0
Katika hali isiyokua ya kawaida mwili wa Benadetha Steven mwenye miaka 35 aliyefariki dunia juzi umefanyiwa matambiko ya kimila baada ya kupasuliwa na wembe ukiwa kaburini na kuingizwa kuku ndani ya tumbo lake ikiwa ni ishara ya kuondoa mkosi.   Tukio hilo lilitokea juzi katika mtaa wa Mapinduzi, Shinyanga wakati waombolezaji wakiwa hatua ya mwisho ya kumzika marehemu lakini gafla

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>