Katika hali isiyokua ya kawaida mwili wa Benadetha Steven mwenye
miaka 35 aliyefariki dunia juzi umefanyiwa matambiko ya kimila baada ya
kupasuliwa na wembe ukiwa kaburini na kuingizwa kuku ndani ya tumbo lake
ikiwa ni ishara ya kuondoa mkosi.
Tukio hilo lilitokea juzi katika mtaa wa Mapinduzi, Shinyanga wakati
waombolezaji wakiwa hatua ya mwisho ya kumzika marehemu lakini gafla
↧