Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Rais Kikwete amteua Masaju kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali

$
0
0
Rais Jakaya Kikwete amemteua George Masaju kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, akichukua nafasi iliyoachwa na Jaji Frederick Werema aliyejiuzulu Desemba 16 kutokana na kuhusishwa na kashfa ya Akaunti ya Tegeta Escrow.   Kwa mujibu wa taarifa ya Kurugenzi ya Mawasiliano ya Ikulu uteuzi huo ulianza rasmi  Ijumaa, Januari 2, 2015 na anatarajiwa kuapishwa leo.   Kabla ya uteuzi wake,

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>