Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mkurugenzi Iramba alipukiwa Bomu nyumbani kwake

$
0
0
Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Iramba Bi. Halima Mpita amekumbwa na hali ya taharuki baada ya kulipukiwa na kitu kinachosadikiwa kuwa ni bomu lililowekwa katika mfumo wa zawadi aliyoipokea kutoka kwa wadau. Jeshi la polisi mkoani Singida limeamua kuagiza wataalamu wa mabomu kutoka jeshi la wananchi mkoani Arusha kwa ajili ya kuchunguza na kubaini kitu ambacho kinasadikiwa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>