Jeshi
la polisi nchini linawashikilia vijana 36 wa kundi maarufu Panya Road
wanaodaiwa kufanya vurugu na kupora mali za watu na kusababisha taharuki
katika jiji la Dar es salaam huku baadhi ya wananchi wakitoa maoni
tofauti kuhusiana na tukio hilo.
Akitoa ufafanuzi wa taharuki hiyo msemaji wa jeshi la polisi SSP
ADVERA BULIMBA ambaye mbali na kuwatoa hofu wananchi kuwa hali hiyo
↧