Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Waliotembea km 1, 200 kwenda Ikulu wakamatwa

$
0
0
ILE safari ya zaidi ya kilometa 1,200 ya makada watatu wa Chadema kutoka mkoani Geita waliotaka kwenda Ikulu ya Dar es Salaam kumwona Rais Jakaya Kikwete, imeishia mikononi mwa polisi baada ya Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Jordan Rugimbana, kuwazuia kuendelea na safari yao hadi watakapopata maelekezo.   Vijana hao, Khalid Selemani, Athanas Michael na Juma Maganga, walisema wameamua

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>