Msanii wa filamu Bongo, Aunt Ezekiel ‘Mama Kijacho’ amefunguka kuwa,
licha ya ujauzito wake kuwa mkubwa, mume wake Sunday Demonte hana
taarifa yoyote juu ya kitumbo hicho.
Akizungumza na mwandishi wetu, Aunt alisema maneno hayo yanaweza kuwashangaza watu lakini
ndiyo ukweli wenyewe.
Alidai kuwa yeye na mume wake huyo hawajaachana na hajapewa talaka
kama watu wanavyodai lakini
↧