Mrembo na mwigizaji wa filamu, Wema Sepetu amefunguka na kudai kuwa
mwigizaji Van Vicker wa Ghana, alichania kwa kiasi flani, kupelekea
aachane na aliekuwa mpenzi wake, Diamond.
Kwamujibu wa GPL,akizungumzia sababu za kumwagana na Diamond, alisema
pamoja na sababu nyingine, Van Vicker alihusika kuwafanya wamwagane na
mpenzi wake huyo waliyedumu kwenye penzi zito lililokuwa gumzo kila
↧