Staa wa urembo, muziki, filamu na ujasiriamali Bongo, Jokate Mwegelo
‘Kidoti’ au ‘Jojo’ amemrushia maneno makali aliyewahi kuwa mpenzi wake,
Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ kuwa hana akili timamu kufuatia maneno
aliyotoa kuwa enzi za uhusiano wao, eti mwanadada huyo alikuwa akichenga
kumzalia mtoto.
Katika mahojiano maalum ya hivi
karibuni kupitia Kipindi cha Mtu Kati cha Runinga ya
↧