Mwanamke mmoja ambaye inadaiwa
ni mke wa mtu aliyefahamika kwa jina la Mishi Choggo ametoa kali ya
mwaka baada ya kusaula kisha kutumia gauni lake kumfutia jasho bi.
harusi.
Bi’mkubwa huyo alifanya kioja hicho Jumamosi iliyopita katika Ukumbi
wa Rose Garden maeneo ya Mafinga mkoani Morogoro katika harusi ya Rose
Raphael na Edward Sebastian ambao walikuwa wakibariki ndoa.
Wakati
↧