Waziri mkuu Mizengo Pinda amesema bado ana dhamira ya dhati ya kumsaidia
rais Jakaya Kikwete katika uongozi wa taifa la Tanzania na kuongeza
kasi ya kuwahudumia wananchi, ili waweze kujiletea maendeleo ya kijamii
na kiuchumi.
Waziri
Mkuu aliyasema hayo wilayani mpanda mkoani Katavi kwenye sherehe za
mkesha wa kuuaga mwaka 2014 na kuupokea mwaka mpya wa 2015.
Alisema baada ya
↧