Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

"Sijawahi kutoa wala kupokea Rushwa na bado nina dhamira ya dhati ya kumsaidia Rais Jakaya Kikwete" --Hii ni Kauli ya Waziri Mkuu Pinda

$
0
0
Waziri mkuu Mizengo Pinda amesema bado ana dhamira ya dhati ya kumsaidia rais Jakaya Kikwete katika uongozi wa taifa la Tanzania na kuongeza kasi ya kuwahudumia wananchi, ili waweze kujiletea maendeleo ya kijamii na kiuchumi. Waziri Mkuu aliyasema hayo wilayani mpanda mkoani Katavi kwenye sherehe za mkesha wa kuuaga mwaka 2014 na kuupokea mwaka mpya wa 2015.   Alisema baada ya

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>