“Huwezi kuamini Ilinibidi nianze kuandika hii risala 3day before ur birthday (mana Sio caption tena)
Kwanza
nashukuru kwa MAPENZI na heshima uliyonipa kwa kuniweka tumboni kwako
miezi 9,kunizaa kwa uchungu na kunilea kiroho,kiakili na ki mwili
pia...Namshukuru Mungu kwa kunipa ww kama Mzazi WANGU na ninajivunia
hilo sana..!
Kuna wakati nakukosea na kukuumiza Lkn kiukweli huwa
↧