Serikali ya Tanzania imesema haitawafumbia macho watu wote
watakaothubutu kuvuruga amani ya nchi kwa njia yoyote katika mwaka 2015,
na kwamba vyombo vya dola vimejipanga kuwashughulikia kikamilifu.
Onyo
hilo limetolewa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania
Dkt Mohamed Gharib Bilal alipokuwa mgeni rasmi katika ibada ya kitaifa
ya kuukaribisha mwaka mpya wa 2015 na
↧