Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Watanzania wahakikishiwa amani mwaka 2015

$
0
0
Serikali ya Tanzania imesema haitawafumbia macho watu wote watakaothubutu kuvuruga amani ya nchi kwa njia yoyote katika mwaka 2015, na kwamba vyombo vya dola vimejipanga kuwashughulikia kikamilifu. Onyo hilo limetolewa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Dkt Mohamed Gharib Bilal alipokuwa mgeni rasmi katika ibada ya kitaifa ya kuukaribisha mwaka mpya wa 2015 na

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>