Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo imepokea malalamiko
kutoka kwa wasambazaji wa filamu kuhusu ushushwaji wa bei za filamu
uliotangazwa na Kampuni ya Steps Entertainment.
Wizara imeyashughulikia malalamiko hayo na kuona kuwa bei
iliyotangazwa na Kampuni ya Steps Entertainment si halisi na
itasababisha tasnia ya filamu kudharauliwa na pia haina tija katika
tasnia ya
↧