Katika kuingia mwaka mpya wa 2015 ambao pia ni mwaka wa
uchaguzi,viongozi wa dini wamewaasa watanzania kuchagua viongozi wenye
sifa kwani mustakabali wa taifa uko mikononi mwa wananchi na sio
vinginevyo.
Akizungumza
kwenye mahubiri ya ibada ya mwaka mpya katika kanisa la Mtakatifu
Patrice, jimbo katoliki la Morogoro, paroko wa parokia ya kanisa hilo
Padre Prochecy Kasongo, amewaasa
↧