Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Watanzania watakiwa kuchagua viongozi wenye sifa

$
0
0
Katika kuingia mwaka  mpya wa 2015 ambao pia ni mwaka wa uchaguzi,viongozi wa dini wamewaasa watanzania kuchagua viongozi wenye sifa kwani mustakabali wa taifa uko mikononi mwa wananchi na sio vinginevyo. Akizungumza kwenye mahubiri ya ibada ya mwaka mpya katika kanisa la Mtakatifu Patrice, jimbo katoliki la Morogoro, paroko wa parokia ya kanisa hilo Padre Prochecy Kasongo, amewaasa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>