Mwenyekiti wa CUF Prof Ibrahim Lipumba pamoja na mbunge wa Kigoma
kaskazini Mh Zitto Kabwe wamewataka wanachi wa mikoa ya kusini kutambua
kuwa rushwa ndani ya serikali ya inayoongozwa na CCM haiwezi kuondoka.
Chama
cha wananchi CUF kimewataka wanachi wa mikoa ya kusini kutambua kuwa
suala la rushwa ndani ya serikali ni mfumo na katu hauwezi kuondoka
iwapo viongozi wakuu serikalini
↧