Ndugu zangu;
Watanzania Wenzangu;
Kama ilivyo ada imefikia siku ya kuuaga mwaka mmoja na kuukaribisha
mwaka mwingine. Leo tunauaga mwaka 2014 na kuukaribisha mwaka mpya wa
2015. Tunamshukuru Muumba wetu mwingi wa rehema kwa kutujaalia uzima na
kutuwezesha kuifikia siku ya leo.
Kwa ndugu na jamaa zetu ambao
hawakujaliwa kuiona siku ya leo tuzidi kuwaombea mapumziko mema. Nasi
↧