Aliyekuwa mwanasheria mkuu wa serikali Jaji Fredrick Werema amepokelewa kijijini kwake baada ya kujiuzulu nafasi hiyo hivi karibuni.
Jaji Werema amepokelewa kijijini kwake baada ya kujiuzulu nafasi hiyo hivi karibuni huku wananchi wa kijiji hicho wakiwataka watuhumiwa wote katika sakata la akaunti ya Tegeta Escrow kujiuzulu nafasi zao ili kulinusuru
↧