Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mwakyembe atimua watumishi 6 TRL

$
0
0
Waziri wa Uchukuzi nchini Tanzania Dkt. Harrison Mwakyembe amewafukuza kazi wafanyakazi 6 wa Shirika la Reli nchini (TRL) kwa makosa ya wizi wa fedha na ameamuru wakamatwe kuanzia jana na wafunguliwe mashtaka mara moja. Akiongea Jijini Dar es Salaam katika mazungumzo yake na wafanyakazi wa TRL waliopeleka malalamiko ofisini kwake kuhusiana na uonevu wanaofanyiwa, Dkt. Mwakyembe

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>