Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Wananchi walilia ardhi iliyouzwa kwa mwekezaji

$
0
0
Wakazi wa kijiji cha Ayalabe kata ya Ganako wilaya ya Karatu wameiomba serikali isikie kilio chao kwa kuchukua hatua kwa watendaji wa halmashauri waliohusika katika kuuza hekari 30 za ardhi ya shule ya msingi Ayalabe pamoja na kuuza mlima pekee wa kijiji kwa mwekezaji huku wakigawana zaidi ya shilingi milioni 500 za chama cha ushirika cha kijiji hicho bila kuwashirikisha wananchi.  

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>