Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Polisi Yatangaza Msako kwa Wanawake Wanaofanya Biashara ya Ngono

$
0
0
Polisi mkoani Tanga wamesema wataendesha msako wa kuwakamata watu wanaofanya biashara ya ngono katika nyumba za starehe na mitaa maarufu kwa biashara hiyo.   Msako huo unatokana na malalamiko ya muda mrefu ya wakazi wa Jiji la Tanga hususan wanaoishi mitaa ya Centrol na Ngamiani ambako biashara hiyo inadaiwa kukithiri.   Akizungumza na Mwandishi hivi karibuni, Kamanda wa Polisi Mkoa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>