Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Washitakiwa mauaji ya Dk Mvungi wazua kizaazaa mahakamani

$
0
0
Washtakiwa 11 wa kesi ya mauaji ya  kukusudia ya Aliyekuwa Mjumbe wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Dk.  Sengondo Mvungi wamegoma kushuka kizimbani  katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu wakishinikiza kuelezwa jalada la kesi yao lipo wapi na imefikia katika hatua gani.   Sakata hilo lilitokea jana majira ya saa 4:00 asubuhi, muda mfupi baada ya Wakili wa Serikali, Peter Njike

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>