Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Bilionea wa Nigeria ampiku Oprah na kuwa mwanamke mweusi tajiri zaidi duniani

$
0
0
Bilionea wa Nigeria, Folorunsho Alakija amempiku Oprah Winfrey kama mwanamke mweusi tajiri zaidi duniani kwa kuwa na utajiri wa dola bilioni 7.3 kwa mujibu wa orodha iliyotolewa na jarida la Ventures Africa. Oprah ana utajiri ufikao dola bilioni 2.9 kwa mujibu wa Forbes. Hata hivyo orodha ya hivi karibuni ya Forbes ilionesha kuwa Alakija ana utajiri wa dola bilioni 2.5.   Utajiri wa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles