Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Jiji la Dar es Salaam Lakumbwa na Mafuriko....Maduka yafungwa, Magari yazimika barabarani

$
0
0
Mvua zilizonyesha kwa muda mfupi katika jiji la Dar es Salaam zimesababisha mafuriko katika maeneo ya katikati ya jiji na kusababisha baadhi ya maduka kufungwa na magari kuzimika barabarani kutokana na kuingiwa na maji kulikotokana na tatizo sugu la miundombunu ya maji taka.   Mpekuzi imetembelea katika maeneo mbalimbali ya jiji katika makutano ya barabara ya Morogoro na Bibi titi

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>