Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Tibaijuka: Nitagombea Ubunge Mwakani licha ya Sakata la Escrow

$
0
0
Siku chache  baada ya Rais Kikwete kumfuta kazi  Tibaijuka kama waziri wa ardhi,nyumba na makazi ,mbunge huyo amewaambia wapiga kura wake kwamba hawakumchagua kama waziri bali kama mwakilishi wao.   Tibaijuka alifukuzwa kazi na Rais Kikwete  kufuatia kashfa ya akaunti ya tageta escrow ambapo alipokea sh.billioni 1.6.   ''Mungu anayetoa ndiye aliyechukua jina la mungu libarikiwe",

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>