Korea kaskazini imeilaumu Marekani kutokana na mataizo ya mtandao ambayo yameikumba siku chache zilizopita.
Tume
ya taifa ya ulinzi nchini Korea Kaskazini inasema kuwa Marekani
inavuruga mifumo ya mitandao ya nchi hiyo huku ikimfananishi rais wa
marekani Barack obama na tumbili wa misitu ya tropiki mbali na
kumshutumu kwa kuhusika katika kuonyeshwa ka filamu yenye utata
inayojulikana
↧