Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Wanaoambukiza UKIMWI kwa makusudi kushughulikiwa

$
0
0
SERIKALI wilayani Kiteto mkoani Manyara imewataka watu wanaoishi na Virusi Vya Ukimwi kuacha kuambukiza wengine kwa makusudi kwa kufanya ngono zembe.   Akizungumza kwenye maadhimisho ya Ukimwi ambapo kiwilaya yalifanyika Mbeli kata ya Partimbo Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya hiyo Mainge Lemalali alisema sheria ipo na jambo hilo la kuambukiza kwa makusudi halikubaliki.   “Serikali

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles