SERIKALI wilayani Kiteto mkoani Manyara imewataka watu wanaoishi na Virusi Vya Ukimwi kuacha kuambukiza wengine kwa makusudi kwa kufanya ngono zembe.
Akizungumza kwenye maadhimisho ya Ukimwi ambapo kiwilaya yalifanyika Mbeli kata ya Partimbo Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya hiyo Mainge Lemalali alisema sheria ipo na jambo hilo la kuambukiza kwa makusudi halikubaliki.
“Serikali
↧