Askari polisi aliyejeruhiwa
Jeshi la polisi limeunda timu ya makachero kutoka makao makuu ya
jeshi hilo jijini Dar es salaam wakishirikiana na wa mkoa wa Ruvuma
kufanya uchunguzi kuhusiana na tukio la mtu mmoja aliyelipukiwa na bomu
maeneo ya majengo mjini songea na kujeruhi askari polisi wawili wakati
akijiandaa kuwarushia askari waliokuwa doria na kisha bomu hilo kumuua
mwenyewe.
↧