Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mtu mmoja Afariki Dunia baada ya kulipuliwa na bomu alilotaka kuwarushia askari Polisi.....Tume yaundwa kuchunguza tukio hilo

$
0
0
Askari  polisi aliyejeruhiwa Jeshi la polisi limeunda timu ya makachero kutoka makao makuu ya jeshi hilo jijini Dar es salaam  wakishirikiana na wa mkoa wa Ruvuma kufanya uchunguzi kuhusiana na tukio la mtu mmoja aliyelipukiwa na bomu maeneo ya majengo mjini songea  na kujeruhi askari polisi wawili wakati akijiandaa kuwarushia  askari waliokuwa doria na kisha bomu hilo kumuua mwenyewe.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>