Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mume Ajinyonga Ukweni baada ya Mkewe Kumkataa

$
0
0
Mkazi mmoja wa Kijiji cha Nyamisisi, Kata ya Kukirango, wilayani Butiama,  Ryakora Kurwijira (34) amejinyonga hadi kufa kwa kutumia shati lake akiwa ukweni baada ya kukataliwa na mkewe aliyekuwa akiishi naye. Habari zilizopatikana kutoka kwa ndugu wa karibu, zinaeleza kwamba marehemu alikuwa akiishi na mkewe aitwaye Doy Nyanyara katika Kijiji cha Nyatwari wilayani Bunda kwa kipindi

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>