Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Sakata la Escrow: Rais Kikwete Amfukuza kazi Waziri wa Ardhi, Nyumba na Makazi, Anna Tibaijuka.....Muhongo awekwa kiporo

$
0
0
Rais Jakaya Mrisho Kikwete ametengua uteuzi wa waziri wa ardhi, nyumba na maendeleo ya makazi Prof. Anna Tibaijuka kutokakana na makosa ya ukiukwaji wa maadili ya utumishi wa umma hasa namna alivyopokea sehemu ya fedha za malipo ya Escrow huku akimweka kiporo waziri wa nishati na madini Prof. Sospeter Muhongo.   Rais Kikwete ameyasema hayo jijini Dar es salaaam alipokuwa akizungumza

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>