Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

CHADEMA Watoa Tahadhari kwa Rais kuhusu Kuwatetea Wahusika wa Sakata la Escrow

$
0
0
C/HQ/ADM/PRESS/37 21/12/2014 Ndugu waandishi wa habari, Tumewaita hapa baada ya kupata fununu kuwa Rais Jakaya Kikwete anataka kutumia hotuba yake ya kesho( leo ) na wanaoitwa, “Wazee wa Dar es Salaam” kutetea wizi mkubwa wa fedha za umma uliofanyika ndani ya Benki Kuu (BoT), kupitia Akaunti ya Tegeta Escrow. Tunazo taarifa kuwa Rais

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>