Katika
hali isiyo kuwa ya kawaida mama moja aliye kuwa akisafiri na mtoto
wake mmoja na wajukuu zake wawili, aliamua kumtupa mjukuu wake wa miaka
sita dirishani huku basi likiwa katika mwendo kasi na kusababisha kifo
chake baada ya kufikishwa katika hospitali ya mkoa wa Singida.
Akithibitisha kutokea kwa tukio hilo kamanda wa jeshi la polisi
mkoani Singida ACP Thobias Sedoyeka,
↧