Rais Kikwete ameahirisha kulihutubia taifa kupitia "Wazee wa Dar" ambapo sasa ataongea nao Jumatatu wiki ijayo(Disemba 22, 2014). Ikulu
imethibitisha na kusema muda utatangazwa.
Rais kikwete jana tarehe 19 alitarajiwa kulihutubia taifa kupitia wazee wa
mkoa wa Dar es salaam katika mkutano wake ambao ulikuwa ufanyike katika
ukumbi wa Hotel ya Blue Pearl,Ubungo jijini Dar es salaam.
↧